Friday, November 30, 2012

CHRISC ARUSHA YOUTH LEAGUE FINAL




CHRISC Arusha youth league ni mashindano yanayo andaliwa na CHRISC kila mwaka. Chrisc ina matawi manne ambayo ni Tanga, Mwanza, Manyara, Kilimajaro, na Arusha ambapo ndipo makao makuu ya CHRISC Tanzania.

League hii kwa CHRISC Arusha kwa mwaka huu wa 2012 ili itimishwa tarehe  24/11/2012 ilianza munamo tarehe 10/03/2012. League ya CHRISC kwa mwaka huu ilishirikisha jumla ya team 98. Kwa mujibu wa Rapha Paul ambaye ndiye mratibu wa CHRISC Arusha alisema kuwa team za wasichana zilikuwa 6 na za wavulana  zilikuwa jumla ya team 96  team za wasichana zote zilitoka katika kituo cha Meserani.


CHRISC ARUSHA YOUTH LEAGUE FINAL 2012

Final ya ligi ya CHRISC Arusha kwa mwaka huu kama kawaida ya kila mwaka ilifanyika katika zone moja iliyo jumuisha washindi wa zone zote za CHRISC Arusha. Final hii ilifanyika katika kituo cha Eso almaarufu kama kituo cha Palot ambacho  hufanya shughuli za kaendesha league ya CHRISC.  Timu zilizo fuzu kucheza final ya league ya CHRISC kwa mwaka huu ni pamoja na Tacoda fc kutoka kituo cha kaloleni ambacho kinaendesha ligi katika kiwanja cha Soweto. Yosso united pia kutoka kaloleni under 16, paloti under16 na14 pia kutoka kituo cha Esso, na hardroock kutoka kituo cha Suye na Kijenge youth  na Tiger Boys  kutoka kitio cha Suye



FINAL



CHRISC Arusha kwa mwaka huu kwa final ilianza tarehe 17/11/2012 kwa robo final iliyozikutanisha team kutoka zone zote katika kituo cha Suye. Na team zilizo fuzu final ndizo zilizoshiriki fainal kitika kituo cha Esso. Michezo ya fainali ilianza majira ya saa 3 kamili kwa michezo ya under 12 na mshindi wa umri hii alitoka katika kituo cha Suye kwa team ya Kijenge youth. Baada ya apo ilichezwa fainali ya under 14 iliyo chezwa kati ya team ya Tacoda fc na team kutoka katiki kituo cha Meserani na Tacoda fc waliibuka washindi wa umri huu. Pia baada ya apo ilichezwa mechi ya under 16 iliyozikutanisha team za Hardroock na palot na hatimaye Palot waliibuka washindi wa umri huu. Pia baada ya hapo ilichezwa mechi ya under 17 iliyokutanisha team za Yosso united na Tiger Boys ya kutoka Suye na mshindi wa mechi hii alikua ni timu ya Tiger Boys.



Monday, November 26, 2012

First Aid Course in Mwanza

 
Testing the RICE method
Some of CHRISC volunteers  in Mwanza were invited to a First Aid Workshop for two days. It happened the 9th and the 10th of november, and 15 CHRISC volunteers attended the Course.


The Act Now students, Mangi and Masawe, came from Arusha to teach about different First Aid technics.
Some topics were life saving first aid and the RICE method. RICE stands for Rest, Ice, Compression and Elevation, and is a good way to treat strains, sprains and dislocations.

The aim of the First Aid Course was to provide the participants knowledge about First Aid so they can help other people in the society. Also some of the participants will teach other volunteers about First Aid.  



Life saving first aid

After the course, the mediateam asked one of the participants, Anna Matiase, about the first aid course.

Anna is 18 years old and has been in CHRISC for one year where she plays football.

Can you say something you learned in the first aid seminar?
"I learned how to help a person who is unconscious and the meaning of first aid. Also now, I know what to do if someone gets hurt"

What has CHRISC done to your life?
"CHRISC has helped me in many ways. I have learned to know things I didn't know before and I have got to know new people. Also CHRISC has helped me to increase my knowledge about life."

How will you use the knowledge you get from CHRISC?
"I will teach new people how to use First Aid and teach them about HIV. And I can help football players if they get hurts"

CHRISC participants at the First Aid course

Tuesday, November 13, 2012

CHRISC Mwanza: Girls can also play Football!


In Mwanza there was a football match for girls in CHRISC, between Pasiansi and Kilumba. The match was played this saturday, the 10th of November. The girls played football at a high level and showed that there are not only boys who can play.

Kilumba scored an early goal, and the match ended 1-0.



Here is the winning team!


After the match CHRISC talked to one player of each team.

Amina Haji is 15 years old from Kilumba zone.

She has participated in CHRISC activites for the last three years.
We asked here of her opinion of the game.
"The game was good. Even if we had some challenges, and the match was tough, we won 1-0."
She also adds that boys think that girls can't play football.
"But I play football anyway!"
What has CHRISC taught you?
"They have taught me how to avoid bad groups of people. I also have learned about life skills, drug abuse and HIV."



Wisala Julius is 19 years old and come from Pasiansi zone.
She has been a partof CHRISC for 1 year, and now she is playing football for CHRISC Pasiansi girl team. "The match was very difficult because they scored an early goal, and we didn´t manage to play so good. Even though, it was very nice to play."
We asked her what challenges she meets when she as a girl plays football.
"A lot of people, especially boys don´t like that we are playing football. They think we can´t play, and also we have much less equipment than the boys."

What has CHRISC taught you?
CHRISC has taught me to love God, and also to increase me talent through training and seminars. I have also learned about First-Aid.